Ziara ya Thehabari Mkoa wa Morogoro

Vibanda vilivyozunguka kituo kikuu cha mabasi cha Msamvu mjini Morogoro

Vibanda kama hivi vipo ndani ya kituo kikuu cha mabasi cha Morogoro maarufu kama Msamvu, duh... aibu!

Hii ni sehemu ya Kituo Kikuu cha Mabasi mkoani Morogoro ambayo imejengwa kisasa kama unavyoona baadhi ya maeneo. Lakini licha ya kituo hiki kijengwa kisasa vibanda vilivyojengwa holela na vilivyochakaa vinaharibu madhari ya kituo hiki, wahusika mwalijua hili!

Abiria hao wakila stori na dereva wetu, Duh..hatari lakini tulifika salama.

Ajali zitaisha kwa staili hii, hili ni basi kubwa la abiria linalofanya safari zake Dar-Moro. wanaoonekana pichani ni abiria ambao hawana siti wakiwa wamemzunguka dereva