Waziri wa Nchi azungumza na Balozi wa Iran

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk. Terezya Huvisa akizungumza na Balozi wa Iran Nchini Tanzania, Mohsin Movahhed kuhusu Masuala ya Kuanzisha Mashirikiano baina ya Tanzania na Iran kwenye Mauala ya Mazingira (Picha na Ali Meja)