Wapiganaji wa IS Walilipua Kanisa Syria

Kanisa linalodaiwa kulipuliwa na wapiganaji wa IS.

Kanisa linalodaiwa kulipuliwa na wapiganaji wa IS.

Kanisa linalodaiwa kulipuliwa na wapiganaji wa IS.

Kanisa linalodaiwa kulipuliwa na wapiganaji wa IS.

WAPIGANAJI wa dola ya Kiislamu IS, wanadaiwa kulipua Kanisa la kikristu Mji wa Syria wa Palmyra. Kundi la kutetea haki za binadamu nchini Syria limesema kuwa wanamgambo hao wametumia mabomu kulipua hekalu ya kiroma ya Bel. Taarifa zaidi zinasema kuwa uharibifu mkubwa umetokea baadha ya shambulio hilo, ambapo umelibomoa kabisa hekalu hilo. Wiki iliyopita wanamgambo hao wameoneshwa katika video wakilipua hekalu nyingine ya

kale ya Baalshamin. Islamic State waliuteka Mji wa Palmyra mwezi Mei na kuzua hofu ya kushambuliwa madhabahu hayo. -BBC