Ujumbe wa leo kama ulivyonaswa na Mpiga picha wetu, unasema “Kazi Mbaya Uwe Nayo” , maana yake kazi utaiona mbaya kama unayo. Ukiwa huna kazi, yeyote utaiona nzuri, ili mradi mkono uende kinywani!

Ujumbe wa leo kama ulivyonaswa na Mpiga picha wetu, unasema “Kazi Mbaya Uwe Nayo” , maana yake kazi utaiona mbaya kama unayo. Ukiwa huna kazi, yeyote utaiona nzuri, ili mradi mkono uende kinywani!