TAREHE MPYA YA MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF

Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani Dau.

Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani Dau.


SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) lina furaha kuwatangazia wadau wake tarehe mpya za Mkutano wa Tano wa Wadau.
Wapi: Simba Hall, AICC- Arusha
Tarehe: 2 Juni -4 Juni, 2015.
Mgeni Rasmi: Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa maelezo zaidi wasiliana na; Meneja Kiongozi,
Idara ya Uhusiano na Huduma kwa Wateja
Simu ya Bure: 0800756773,
Simu Motomoto: +255 756 140140
Barua Pepe: info@nssf.or.tz