
Bango la tamasha likiwa limebandikwa mahala pake kama kawaida.

jukwaa la muziki likiwa bado kwenye maandalizi

Nyomi ilikuwa inaongezeka kadri muda unavyokwenda…

Ghana!

Waghana nao walikuwepo kuuenzi utamaduni wao

Ngoma

Ngoma!

Mwanadada wa kiafrika akitoa dozi

Kikosi maalum cha ngoma kutoka Afrika Magharibi kikitumbuiza

Banda la Kameruni

Banda la Madagascar

Nyama choma!

Jambo!

Banda la “Jambo” nalo lilikuwepo, ajili ya kuuza vinywaji na vitafunwa safiii

Wateja

Waafrika wa Brazili pia walikuwepo kuuza Mikia ya Jogoo (cocktails)

Mashabiki

Baadhi ya bidhaa

mashabiki

mashabiki wakiwa mlango na wengine wakielekea ndani

Bango mbele ya lango la kuingilia

Bango
Tamasha hili linafikia tamati leo tarehe 20/7/2014, baada ya kuanza tarehe 17/7/2014. Tamasha hili hufanyika kila mwaka hapa jijini Tuebingen, Ujerumani, ambapo waafrika hutumia fursa hii kuonyesha utamaduni wao kupitia bidhaa mbalimbali, ikiwemo miziki.
Picha na habari: dev.kisakuzi.com, Tuebingen, Ujerumani