Kashfa ya Escrow Yawagawa Wabunge Dodoma…!

TUHUMA za uchotwaji wa fedha kiasi cha bilioni 306 zinazodaiwa kuwa za Serikali katika akaunti ya Tegeta Escrow imewagawa wabunge katika mjadala unaoendelea bungeni wa kuijadili ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyowasilishwa na mapendekezo ya kutaka baadhi ya mawaziri, Waziri Mkuu na Watendaji wengine wawajibishwe. Mjadala mkali unaoambatana na vituko vya wabunge kuzomeana, kupeana vijembe, …