TFF Yataja Kiingilio Mpambano Yanga na AZAM FC

MCHEZO wa Ngao ya Hisani ambao ni sehemu ya ufunguzi wa pazi la Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) nchini kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC utachezwa siku ya jumamosi katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salam, ambapo kiingilio cha chini kitakua ni shilingi elfu saba. Fuata link chini kwa taarifa kamili Mchezo wa Ngao ya Hisani ambao …

Kauli ya Jerry Muro Yamponza, TFF Yampiga Faini Mil. 5

KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF iliyoketi jumanne tarehe 5 Mei, 2015 imempiga faini ya sh. 5,000,00 (milioni tano), Afisa Habari wa klabu ya Yanga SC Jerry Muro kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF. Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, …