Ebola Sasa ‘Yamfuata’ Obama Marekani

IKIWA ni siku chache baada ya Rais wa Marekani, Barrack Obama kutangaza kutoa askari kwenda kusaidia mapambano na ugonjwa wa Ebora katika nchi zenye ugonjwa huo Afrika, Mgonjwa wa kwanza mwenye virusi vya Ebola amegundulika nchini Marekani. Taarifa zinasema mgonjwa huyo amegundulika akiwa katika Mji wa Dallas, Texas. Maofisa katika kituo cha afya cha Texas Hospitali ya Presbyterian wamesema tayari …