Waziri wa Fedha Awataka Wafanyakazi Wizara Yake Kujituma

Na Eleuteri Mangi – MAELEZO WAFANYAKAZI wa Wizara ya Fedha wametakiwa kufanyakazi kwa bidii na kujituma kwa moyo wote ili kukuza uchumi wa nchi na taifa na hatimaye liweze kusonga mbele na kufikia malengo yake. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alipokuwa mgeni rasmi wakati wa hafla ya kufungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa wizara …