Maandalizi ya Kusheherekea Miaka 50 ya Muungano

Pichani juu, Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni zikiwa zimepambwa kwa bendera ya Tanzania, sambamba na maeneo mengine ya Jiji la Dar. Wakati mabilioni yakitumika kuandaa sherehe za Muungano, hoja na kejeli ziliendelea kutikisa (na bila shaka zitaendelea pindi wajumbe watakaporudi tena Dodoma Agosti mwaka huu) kuhusu muundo stahiki wa muungano. Serikali moja, mbili au tatu!? Picha Zote na …