Hotuba ya Waziri Mkuu Pinda Akiliahirisha Bunge

HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 18 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 7 FEBRUARI, 2015 I: UTANGULIZI (a) Masuala ya jumla Mheshimiwa Spika, 1. Tumekuwepo hapa kwa takriban siku 12 katika shughuli za Mkutano wa 18 wa Bunge lako Tukufu. …

Pinda Aridhishwa na Ujenzi Miundombinu OUT

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema uamuzi wa Serikali wa kukopa fedha ili kuboresha miundombinu kwenye taasisi za elimu ya juu nchini ulichukuliwa kwa lengo la kujibu tatizo la sasa la wingi wa vijana wanaohitimu kidato cha sita.   Ametoa kauli hiyo Oktoba 10, 2014 wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) …

Maprofesa SUA Waomba Kuongezewa Muda wa Kustaafu, Pinda Avutiwa…!

  PROFESA Gerald Monella wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA), ameiomba Serikali kuongeza muda wa kustaafu kwa wahadhiri wa vyuo vikuu kwani wanapozeeka ndiyo wanapata muda wa kufanya tafiti zaidi. Gerald Monella ametoa kauli hiyo jana mbele ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipokuwa akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya wa SUA mara baada ya kutembelea chuo hicho …

Pinda Awataka ma-RC, DC Kwenda na Kasi ya BRN

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAZIRI Mkuu, Mizengo Peter Pinda amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuendana na kasi ya Mpango wa MATOKEO Makubwa Sasa (BRN) katika utendaji wao hasa katika eneo la ufuatiliaji na uadilifu. Waziri Mkuu Pinda ameyasema hayo leo (Jumatano) mjini hapa wakati wa hotuba yake fupi ya ufunguzi wa Mkutano wa siku tatu wa watendaji hao kujitathmini …

Waziri Pinda Asuluhisha Mgogoro Kiwanda cha Chai Mponde

*Ataka iundwe timu ya watu wachache kusimamia kiwanda   WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amewataka Wakala wa Wakulima Wadogo wa Chai pamoja na Bodi ya Chai nchini waangalie uwezekano wa kuunda timu ya watu wawili au watatu itakayosimamia mwenendo wa kiwanda cha chai Mponde, kilichopo wilayani Lushoto mkoani Tanga.   Waziri Mkuu ambaye aliwasili jijini Tanga Septemba 13, 2014 …