Majina Yatakayowania Tuzo za Watu 2015 Yatangazwa

MAJINA yaliongia kwenye hatua ya tano bora kwenye Tuzo za Watu 2015 yametangazwa rasmi Ijumaa hii. Hiyo ni baada ya siku kadhaa za kuhesabu mapendekezo yaliyokuwa yakitumwa na wananchi kwa kipindi cha wiki tatu tangu kuzinduliwa kwa tuzo hizo. Zoezi la kupiga kura linafunguliwa rasmi Jumamosi hii, April 24. Haya ndio majina matano yaliyoingia kwenye tano bora: Mtangazaji wa redio …