Watanzania Waitikisa Marekani kwa Utapeli

BAADHI ya Watanzania wanaoishi Marekani huenda wakaozea jela baada ya kutiwa hatiani na wengine kukiri mahakamani kuhusika katika utapeli na wizi wa mamilioni ya Dola za Marekani, kupitia mikopo na upangishaji wa nyumba. Hukumu ya hivi karibuni ni ya Mtanzania, Mokorya Cosmas Wambura (41) ambaye alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela na faini zaidi ya Dola 400,000 (zaidi ya Sh660 …