NEC Yahimiza Kujiandikisha Wapiga Kura Sherehe za Mei Mosi

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inaendelea kuwahamasisha wananchi wote kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la wapiga Kura ili kuweza kupiga kura ya maoni na kuchagua viongozi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2015. Hayo yamedhihirika leo wakati wa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani Mei 1, 2015 zilizofanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo wizara mbali mbali ikiwemo taasisi binafsi …

Hiki Ndicho Zitto Kabwe Alichowaambia Wapiga Kura Wake Kigoma…!

HOTUBA YA MH ZITTO KABWE (MBUNGE KIGOMA KASKAZINI) ILIYOTOLEWA LEO TAREHE 15 MACHI 2015 MWANAMAPINDUZI na Rais wa zamani wa Burkina Faso Thomas Sankara alisema kuwa ili kuleta mabadiliko ya kimapinduzi ni lazima kuwa na hali fulani ya uendawazimu. Ila tusiufikirie uendawazimu huu wa kuokota makopo bali ule ukichaa mzuri wa kuamini katika mambo au misingi fulani na kuisimamia kwa dhati pamoja …

Wapiga Kura Wamgeuka Mbunge Wao Mbele ya Waziri

SAKATA la vibali vya uvunaji miti katika msitu wa Taifa wa Sao Hill Mufindi mkoani Iringa limemuweka pabaya Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kusini, Mendrad Kigola baada ya wapiga kura wake kumgeuka mbele ya Waziri Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kuwa mbunge huyo ni mchochezi. Katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Igowole juzi Kigola alimkaribisha waziri huyo huku akikosoa mgao wa …