Wandishi wa Al Jazeera Wafungwa Miaka 7, Rais wa Misri Apinga…!

MAHAKAMA nchini Misri imewahukumu kwenda jela kwa kifungo cha kati ya miaka saba na kumi wandishi watatu wa habari wa Shirika la Habari la Al Jazeera waliokuwa wamezuiliwa kwa miezi sita nchini humo. Taarifa zinasema waandishi hao walipatikana na hatia ya kueneza habari za kupotosha na kushirikiana na kundi la wapiganaji wa Kiisilamu la Muslim Brotherhood. Mmoja wa wandishi hao, …