Wanafunzi Chuo Kikuu Mzumbe Waunga Mkono Bunge la Katiba

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Mzumbe cha Morogoro wameunga mkono mchakato wa Bunge Maalumu la Katiba wakisema kuwa wanaridhishwa na hatua iliyofikiwa na mwendo mzima wa Bunge hilo na kuwa mwafaka unawezekana kuhusu vipengele viliyobakia na kupatikana kwa theluthi mbili za kupitisha Katiba Mpya. Wanafunzi hao wameeleza msimamo wao huo, Agosti 25, 2014, chuoni hapo kwenye risala ambayo wameisoma hadharani …