Wamachinga Wacharuka, Wavamia Ofisi za Jiji Dar

Na Mwandishi Wetu, WAFANYABIASHARA ndogondogo maarufu kama wa machinga leo jijini Dar es Salaam waliandamana hadi katika Ofisi za Jiji la Dar es Salaam zilizopo eneo la Kamata (mataa) na kuanza kufanya fujo huku wakitupa mawe na kuchoma matairi katika barabara hiyo. Wamachinga hao vijana ambao walikuwa wakifanya fujo hizo huku wakiimba, “..hatukubali, hatukubali, hatukubali…” waliandamana kwa kukimbia toka maeneo …

Jiji Latafuta Suluhisho la Ombaomba na Wamachinga

Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es Salaam   JIJI la Dar es salaam linaangalia utaratibu wa kuwaondoa ombaomba na wafanyabiashara ndogondogo(wamachinga) katika maeneo yasiyoruhusiwa katika jiji la Dar es salaam kufuatia sheria na hatua zinazochukuliwa ikiwemo kuwarudisha ombaomba hao katika mikoa wanayotoka kutokuzaa matunda na kuwa endelevu kufuatia wengi wao kurudi katika maeneo ya awali kila wanapoondolewa.   Hayo yamebainishwa na …