Rais Kikwete Akemea Vitisho kwa Wabia wa Maendeleo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa kamwe mahusiano kati ya Tanzania na wabia wa maendeleo hayawezi kutawaliwa na vitisho vya wabia hao wa maendeleo kuikatia Tanzania misaada kwa sababu yoyote ile. Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa kamwe Serikali yake haiwezi kukubali kudhalilishwa na kuvunjiwa heshima na vitisho hivyo na ikifika mahali Serikali itawaambia wabia …