NSSF Yatoa Elimu kwa Umma Kuhusu Mafao na Huduma Mwanza

  Baadhi ya wananchi wakisubiri kujiandikisha uanachama wakati wa zoezi maalumu la utoaji elimu kwa umma kuhusu mafao na huduma mbalimbali za NSSF, ambapo zoezi hilo limeanza katika eneo la Buhogwa jijini Mwanza.   Ofisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Amani Marcel (kushoto), akimkabidhi zawadi ya fulana mwanachama mpya wa NSSF wakati wa zoezi maalum la utoaji …