MKUTANO WA TANO WA WADAU NSSF

MKUTANO WA TANO WA WADAU NSSF *ZAIDI YA HIFADHI YA JAMII: AJIRA, UJASIRIAMALI NA MICHEZO Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linapenda kuwatangazia wadau wake kufanyika kwa Mkutano wa tano(5) wa Wadau wa NSSF. Wapi: Simba Hall AICC- Arusha Lini: Tarehe 5-7 Mei, 2015 Washiriki: Wadau wa NSSF (Waajiri na Wanachama) Mkutano huo wa tano utakuwa mahususi kwa …