TAMWA Kuwajengea Uwezo Waandishi Uandishi Habari za Uchaguzi

CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kimepanga kuwajengea uwezo baadhi ya waandishi wa habari nchini juu ya uandishi wa habari za uchaguzi kujiandaa na Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 2015. Akizungumza katika mkutano na baadhi ya Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari leo jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Gradness Munuo alisema mafunzo hayo yatawaongezea ujuzi …

EAC Yatoa Changamoto kwa Waandishi Habari

  Na Mtuwa Salira, EANA, Arusha KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dk Richard Sezibera ametoa wito kwa waandishi wa habari katika kanda hiyo kuripoti habari chanya juu mwenendo wa mtangamano wa jumuiya hiyo. “Muwe mstari wa mbele katika kuripoti kwa uhakika juu ya mtangamano wa EAC, manufaa yake mengi na fursa za kutosha zilizopo kwa watu wa kanda …