Albino Aliyekatwa Mikono Awaliza Viongozi Mkutanoni

Na Mwandishi Wetu MWANAMKE albino Mariam Stanford aliyepoteza mikono yake yote miwili wakati iliponyofolewa na majahili asiowajua Oktona7, 2008 ameitaka serikali kuwanyonga wote wanaopatikana na hatia ya kuua albino nchini. Alisema hata adhabu ya kifungo cha maisha haiwatoshi kwa jinsi wanavyosababisha maisha ya mashaka na yenye uchungu kwa walemavu wa ngozi. Akizungumza kwa uchungu huku akitokwa na machozi kiasi cha kushidwa …