Mkuu wa Usalama Marekani Abwaga Manyanga..!

MKUU wa Idara ya Usalama nchini Marekani, Julia Pierson ambaye idara yake inahusika na kumlinda Rais wa nchi hiyo Barack Obama, ameamua kubwaga manyanga kazini baada ya shutuma kumzidia. Shutuma zilizokuwa zikimwandama zaidi ambayo huenda zimeshinikiza maamuzi ya kujiuzulu ni tukio la kuhatarisha usalama wa Ikulu ya nchini hiyo na taifa kiujumla. Bi. Pierson alikabidhi barua ya kujiuzulu kwa Waziri …

Uganda Yasema Haitishwi na Vikwazo vya Marekani Kuhusu Ushoga

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Uganda, Balozi James Mugume, amesema kuwa Uganda haitishwi na vikwazo ilivyowekewa na Marekani kama hatua ya kupinga sheria yake kali kuhusu mapenzi ya jinsia moja. Balozi Mugume alisema kuwa Serikali ya Uganda itafanya mazungumzo na Marekani ili kufafanua hatua waliyochukua. Alisisitiza kuwa wataieleza Marekani sheria hiyo inapinga tabia ambayo sio ya …