Mkuu wa Wilaya Tunduru Awatia Mbaroni Viongozi wa Vijiji kwa Ubadhirifu

Mkuu wa Idara ya Ardhi na Maliasili Ndugu Japhet Muogopeni Mnyagala akizungumza mbele ya Wananchi. Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Juma Zuberi Homera akizungumza na Wananchi wa Vitongoji vya Frank Weston na Umoja vilivyokumbwa na mgogoro wa ardhi.   Mkuu wa Wilaya Tunduru Mhe. Juma Zuberi Homera akimuagiza Mkuu wa Idara ya Ardhi na Maliasili Ndugu Japhet Muogopeni Mnyagala …

Viongozi wa Chadema Wampinga Mkuu wa Mkoa

KAULI ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama ya kuwataka viongozi wa serikali za vijiji kuondoka katika ofisi walizokua wakizitumia awali na kwenda kupanga majengo ya watu binafsi imepingwa vikali na wananchi pamoja na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Kauli ya Mkuu wa mkoa aliitoa Februari 5, 2015 wakati alipokua akizungumza na viongozi wa kata, vijiji na …