UWT Yaungana na Rais Magufuli Kuhusu Makinikia, Mikataba ya Madini

  JUMUIYA ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) inaunga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Magufuli na kupongeza jitihada zake za kupambana na aina zote za ubadhirifu, dhulma na unyonyaji uliobainika kwenye mikataba ya uchimbaji na usafirishaji madini, na hivyo kuhakikisha maliasili za Taifa zinatumika kwa manufaa ya watanzania wote. Pia, Umoja wa Wanawake Tanzania unatoa pongezi kwa …

UWT Mufindi Wampigia Magoti Bi. Mkini Kugombea Ubunge

Mwenyekiti wa UWT Mufindi na mjumbe wa NEC Taifa, Bi Marcelina Mkini akiwapongeza  wanawake kwa kumkubali  WAKATI joto  la Uchaguzi  Mkuu likiendelea  kushika kasi ndani ya Chama  Cha Mapinduzi (CCM) kwa  wanachama  wake kujitokeza kutia nia kuwania nafasi ya urais, ubunge na udiwani, umoja  wa wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Mufindi umemuomba Mwenyekiti wa umoja huo Wilaya ya Mufindi, Marcelina …