Uwazi na Uwajibikaji Unawahusu Wote si Serikali tu-JK

Na Joachim Mushi RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema dhana ya uwazi na uwajibikaji haipaswi kutekelezwa na Serikali pekee, bali inawahusu pia waendeshaji wa asasi za kiraia ili kujenga imani kwa raia wote. Rais Kikwete amebainisha hayo katika hotuba yake kwenye Mkutano wa Open Government Partnership (OGP) uliofanyika jijini Dar es Salaam. Alisema dhana ya uwazi na uwajibikaji inawahusu wadau …