Waziri Prof Magembe Awataka Wanahabari Kuendelea Kutangaza Utalii

                WAZIRI wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Magembe amewapongeza waandishi wa habari kwa mchango wao kuendelea kutangaza utalii nchinikupitia vyombo vyao, na kuwaomba waendelee na uzalendo huo kwani kitendo hicho ni faida kwa taifa zima. Pongezi hiyo ameitoa leo jijini Tanga alipokuwa akifungua semina ya mwaka kwa wahariri na wanahabari waandamizi iliyoandaliwa …

Wanafunzi UDSM Wahamasisha Utalii wa Ndani…!

Mnyama Ngiri akiwa amejipumzisha kwenye tope kama alivyokutwa na kamera yetu Baadhi ya Wanafunzi  wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) wamefanya ziara ya siku mbili ya kitalii katika hifadhi ya taifa ya Saadani pamoja na sehemu ya kihistoria ya Kaole iliyopo Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya kujifunza pamoja na kuhamasisha utalii wa ndani. Wanafunzi hao kutoka katika “Collage” tofauti tofauti ikiwemo utalii …

Baadhi ya Wanahabari Tanzania Watembelea Utalii Zimbabwe

Mhudumu wa Mapango ya Chinhoyi Cephas Sithole akitoa maelezo kwa timu ya waandishi wa habari waliombatana na wadau wa utalii kutoka nchini Afrika Kusini kwenye ziara hiyo ya kutembelea vivutio vya utalii nchini Zimbabwe katika mapango Chinhoyi. WAANDISHI wa habari kutoka vyombo 5 vya habari vya magazeti ya Tanzania ikiwemo mtandao wa habari wa Modewjiblog ambao ni Justin Damiana (The …

Vyungu Hivi ni Zaidi ya Utalii Wilayani Mufindi, Iringa

Mmiliki  wa mtandao huu  mzee wa matukiodaima juu akiwa amejitwisha  kichwani  kiatu cha asili  kilichotengenezwa kwa  udongo  ambacho  kinauzwa kati ya Tsh  160,000 kwa  kimoja na  pea moja ni Tsh 320,000 kiatu  hiki ni  moja kati ya  vivutio vya utalii katika  wilaya ya Mufindi  mkoani Iringa vinavyotengenezwa  eneo la Rungemba na kuvutia  watalii  wa ndani na nje Baadhi ya  vifaa …

Mkoa wa Mbeya Kuboresha Miundombinu Kuvutia Utalii…!

Wanahabari  wakitazama  Kimondo Mwanahabari  wa Gazeti la Habari  Leo  Iringa na Mwenyekiti wa Chama  cha Waandishi wa Habari  Mkoa  wa Iringa Frank  Leonard  akitoka  kutazama  Kimondo Mgeni  akisaini kitabu cha wageni katika  ofisi ya makumbusho ya mambo ya kale  ya  Kimondo Mbeya Mhifadhi  akionyesha  jiko  ambalo  linatumika  eneo  hilo Nyumba ya  wahifadhi  wa makumbusho ya mambo ya kale ya  Kimondo …

Ufaransa Yakubali Kuitangaza Zanzibar Kiutalii

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar UFARANSA imeahidi kuitangaza Zanzibar kiutalii nchini mwake kupitia makampuni yake makubwa ya kitalii yaliopo nchini humo sambamba na kuendelea kuziunga mkono sekta nyengine za maendeleo za hapa nchini. Balozi mpya wa Ufaranza nchini Tanzania, Malika Berak aliyasema hayo wakati alipofanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mwemyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, …