Utajiri wa Lowassa Unavyoyatesa Makanisa Tanzania

Na Prudence Karugendo KATIKA mafundisho ya Injili, ambayo ni maelezo kuhusu Yesu Kristo, inaelezwa kwamba mama mmoja alikamatwa na kupelekwa mbele ya Kristo akituhumiwa kufanya ukahaba huku wadau waliomkamata wakimtaka Kristo kutoa hukumu ili mama huyo aadhibiwe kulingana na maelekezo ya torati. Kristo alitumia hekima yake na kusema sawa, anayejielewa ni msafi hajapata kutenda kosa la jinsi hiyo na awe …