Watoto Wanaonyonya Muda Mrefu Wanaakili na Uwezo

WAKATI hivi sasa wazazi wengi hawapendi kuwanyonyesha watoto wao kwa muda mrefu huku wakiwa na madai na sababu tofauti, utafiti uliofanyika nchini Brazil hivi karibuni umebaini kuwa watoto wanaonyonya kwa muda mrefu wanakuwa na akili zaidi, wasomi, na wenye uwezo kifedha wanapokuwa watu wazima. Ripoti ya utafiti huo iliyochapishwa katika jarida la afya la Lancet Global Health unafuatilia makuzi ya …