UNHCR: Tanzania ni Kimbilio Salama la Wakimbizi…!

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi Duniani (UNHCR) limesema kuwa Tanzania imekuwa kimbilio salama la wakimbizi kwa sababu ni nchi salama, ni nchi tulivu, ni nchi yenye mahusiano mazuri ya kijamii na yenye kuongozwa na sera nzuri na za kibinadamu. Aidha, shirika hilo, limeiomba Tanzania kutoa ardhi ya kutosha ili kuliwezesha shirika hilo kujenga miundombinu na huduma kwa ajili …