Tanzania Wapongezwa Kupunguza Vifo vya Wajawazito na Watoto

Na Joachim Mushi, Dar es Salaam TANZANIA inajivunia mafanikio makubwa ya kupunguza idadi ya vifo vya wajawazito pamoja na idadi ya watoto chini ya miaka mitano wanaopoteza maisha kila mwaka. Mafanikio hayo yameifanya Tanzania kutolewa mifano kimataifa ikiwa ni kati ya nchi zilizovuka malengo ya kupunguza idadi hiyo vifo iliyojiwekea kuzifikia. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Vizara ya …

UN Condemns Killing of Two Peacekeepers From Tanzania…!

Statement attributable to the Spokesman for the Secretary-General on the attack on MONUSCO in the Democratic Republic of the Congo THE Secretary-General strongly condemns the killing of two United Nations peacekeepers from the United Republic of Tanzania and the wounding of 13 others in the eastern Democratic Republic of the Congo (DRC) earlier today, when a UN Organization Stabilization Mission …

Umoja wa Ulaya, UN; Tutapigania Uhuru wa Habari Siku Zote

Na Joachim Mushi, Morogoro UMOJA wa Nchi za Ulaya nchini Tanzania (EU) umepinga vikali vitendo vya kikatili na unyanyasaji wameokuwa wakifanyiwa na vyombo vya dola vya Serikali wanapokuwa wakitekeleza majukumu yao ambapo ilitokea mwanahabari mmoja kuuwawa. Alisema hawatachoka kukemea matukio hayo ya unyanyasaji kwani yanafifisha uhuru wa habari. Akizungumza leo mjini Morogoro katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari …

UN Kuainisha Eneo Kukumbuka Biashara ya Utumwa

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon amesema UN itaainisha eneo maalum na la kudumu mahususi kwa ajili ya kuwakumbuka waathirika wa utumwa na biashara za utumwa zilizoendeshwa Bahari ya Atlantiki. Ki-moon ametoa kauli hiyo kwenye hotuba yake maalum aliyoitoa leo kwenye tukio la kumbukumbu ya kuwakumbuka waathirika wa utumwa na biashara zake zilizoendeshwa eneo la Bahari ya …

UN Yaomba Juhudi Ziongezwe Kukabili Wauaji Albino

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na binti wa miaka 19 ambaye ni mlemavu wa ngozi na kutosikia, Masalu Masuka ambaye  anaishi katika kituo cha watoto walemavu cha Buhangija baada ya kukimbia kwao Bariadi kukwepa wauaji wa albino. Binti huyo alijifungua mtoto wake …