UNESCO Yazinduwa Programu Kuukabili UKIMWI

Afisa Ardhi na Mazingira wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala (Kahama), Zablon Donge, akifungua rasmi warsha ya siku tatu ya wadau wa mapambano dhidi ya UKIMWI kwa niaba ya Mkurugenzi wa wilaya hiyo, iliyofanyika Kata ya Segese wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira …

Serikali Kupunguza Maambukizi ya Ukimwi Hadi Sifuri

Na Genofeva Matemu – Maelezo SERIKALI imepanga mikakati na kusimamia juhudi zinazofanywa na kuendelezwa na wadau wa ukimwi kuhakikisha kuwa maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi yanapungua hadi kufikia sifuri ifikapo mwaka 2025. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk. Fatma Mrisho wakati wa mkutano wa Serikali na wadau wa ukimwi kupitia utekelezaji …