Bi. Theresa May Ndiye Waziri Mkuu Mpya wa Uingereza

HATIMAYE mwana mama Theresa Mary May amechukua usukani na kuwa Waziri Mkuu wa taifa la Uingereza. Akizungumza baada ya kupokea ufunguo wa makao rasmi ya Waziri Mkuu wa Uingereza, Bi. May amewahakikishia washirika wake na mataifa ya muungano wa ulaya kuwa licha ya taifa hilo kuamua kujiondoa, Uingereza imedhamiria kuungana na mataifa washirika na kutekeleza wajibu wake katika muungano wa …

David Cameron Ashinda Uchaguzi, Mpinzani Wake Ajiuzulu

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, David Cameron amepata ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo jana. Chama chake cha Conservative kimepata viti 330 huku kile cha leba kikijipatia 232. Cameron alisema anapania kuendelea kuiongoza Uingereza kwa umoja. Shirika La BBC lilikisia kuwa Cameron na Chama chake angepata ushindi wa maeneo bunge 329. Chama cha Leba kimepata pigo kubwa huko Scotland …

Edward Lowassa Azungumza na Balozi wa Uingereza

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchi za Nje,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,Mh. Dianna Melrose aliyefika ofisini kwake leo kwa mazungumzo. Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchi za Nje,Mh. Edward Lowassa akiagana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,Mh. Dianna Melrose mara baada ya kumaliza mazungumzo yao.

Happiness Watimanywa Ahaidi Kufanya Vizuri Uingereza

Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM   MREMBO wa Tanzania wa mwaka 2013, Happiness Watimanywa ameahidi kuing’arisha Tanzania katika mashindano ya ulimbwende ya Dunia yatakayofanyika mapema mwezi ujao huko nchini Uingereza.   Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, mlimbwende huyo amewaeleza waadishi kuwa, kutokana na uzoefu wa kazi zake alizokuwa akifanya kwa jamii kwa muda kipindi cha mwaka …

Waziri Mkuu Tanzania Awashawishi Wawekezaji Uingereza

  WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amefanya mikutano na wawekezaji kadhaa ambao wanahudhuria mkutano wa uwekezaji barani Afrika ulioanza jana kwenye jijini London, Uingereza. Katika mikutano hiyo, Waziri Mkuu alikutana na Mwenyekiti wa Taasisi ya Africa Matters Limited, Baroness Linda Chalker na kujadiliana naye masuala yanayohusu utawala bora.   Pia alikutana wawakilishi wa kampuni ya Price Waterhouse Coopers (PwC) wakiongozwa na …