Magaidi Wavamia Jumba la Starehe Ujerumani, Watu Sita Wauawa

WATU sita wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wenye bunduki walio wafyatulia risasi watu katika jumba moja la kibiashara mjini Munich, Ujerumani. Taarifa za Polisi zinasema washukiwa bado hawajakamatwa na wamewatahadharisha watu na kuwashauri kutotoka nje. Operesheni kubwa ya kiusalama inaendelea katika jumba la kibiashara la Olympia, ambalo linapatikana mtaa wa Moosach, Kaskazini Magharibi mwa Munich. Watu walioshuhudia tukio wanasema …

Hofu Magaidi; Wapiga Bomu Kijijini Morogoro, Wanne Wajeruhiwa

Na Joachim Mushi, Ifakara HOFU ya watu wanaodhaniwa kuwa magaidi imetanda katika Kijiji cha Msolwa Ujamaa, kilichopo Wilaya ya Morogoro Vijijini baada ya watu wawili kupiga bomu la kutupa kwa mkono katika kijiji hicho na kujeruhi vibaya watu wanne waliokuwa wakiwadhibiti watu hao. Akizungumzia jana na dev.kisakuzi.com eneo la tukio mmoja wa wanakijiji aliyeshuhudia tukio hilo, Ibrahim Ally mkazi wa …

Sera Mbaya Ndizo Zinazoulea, Kukuza Ugaidi – Kikwete

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema moja ya vyanzo vikubwa vya kuzalisha, kulea na kukuza ugaidi duniani ni sera mbaya za ubaguzi na zinazowanyima haki za msingi baadhi ya wanajamii ama makundi ya wanajamii. Aidha, Rais Kikwete alisema kuwa ni muhimu kwa mataifa mbali mbali duniani kubuni na kutunga sera ambazo zinalenga kutoa nafasi na haki …