Madudu Yazidi ‘Kuibuka’ Ufisadi FIFA

UCHUNGUZI wa BBC umegundua jinsi zilivyotumika kiasi cha dola milioni 10 zilizotumwa kutoka FIFA kwenda kwa akaunti za aliyekuwa makamu wa rais wa shirikisho hilo Jack Warner. Pesa hizo zilipangiwa kutumiwa na shirika moja la Afrika Kusini katika nchi za Caribbean. Lakini nyaraka ambazo zilikaguliwa na BBC zinasema kuwa bwana Warner alitumia pesa hizo kwa mikopo yake ya kibinafsi na …