Rais Magufuli Aagiza TCU Kutowachagulia Vyuo Wanafunzi Elimu ya Juu

Na Lilian Lundo na Beatrice Lyimo RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameiagiza Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kutowachagulia vyuo wanafunzi wa elimu ya juu na kuwaacha wanafunzi hao kuchagua vyuo wanavyovitaka wenyewe. Agizo hilo limetolewa leo, Jijini Dar es Salaam Rais Magufuli alipokuwa akizindua Mabweni mapya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam …

UDSM Yampa Shahada ya Udaktari wa Sheria Rais Kikwete

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete leo katika Ikulu ya Dar es Salaam amepokea Joho na Cheti cha Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Sheria yaani Doctor of Laws, Honoris Causa kutoka kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UDSM. Tayari Rais Kikwete alishatunukiwa shahada hiyo katika mahafali ya 41 ya UDSM yaliyofanyika Octoba, mwaka 2011 na leo hii UDSM. …

Kaymu Tanzania to Feature at The UDSM 2015 Marketing Forum

KAYMU Tanzania’s number one online marketplace, has once again partnered with the University of Dar-es-Salaam, this time in The 2015 UDBS Marketing Forum. The Forum is expected to take a single day, Saturday, 6th June 2015, where potential marketers (marketing oriented students) will meet with corporate practitioners. Students will get time to give their views on issues relating to marketing …