Hawa Ndiyo ‘Wapuuzi’ Wakazi wa Dar Kipindi cha Mvua…!

MSIMU wa mvua jijini Dar es Salaam wapo baadhi ya watu huvua utu wao na kuvaa mioyo ya wanyama. Hawa hawa huamua kutothamini binadamu wenzao na kuamua kujitamini wao wenyewe. Aina hii ya watu wapo karibu maeneo yote si katikati ya jiji la Dar es Salaam na hata vitongoji anuai. Bila huruma huamua kutiririsha maji maji taka yenye vinyesi kutoka …