JK: Asilimia 90 ya Watoto Wanapata Chanjo Tanzania, Apewa Tuzo Ujerumani

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema kuwa asilimia 90 ya watoto wote Tanzania sasa wanapata chanjo kutokana na kazi inayofanywa na taasisi ya kusambaza chanjo duniani ya Global Alliance for Vaccines and Immunisazation (GAVI). Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa bila kazi hiyo ya GAVI ni dhahiri kuwa baadhi ya nchi duniani hasa zile zinazoendelea zingekuwa zinapoteza …