JK Ateuwa Wenyeviti na Makamishna Tume ya Haki za Binadamu

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amefanya uteuzi wa Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Makamishna wanne wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kama ifuatavyo:- Mwenyekiti: Bwana Bahame Tom Mukirya -NYANDUGA Ana Shahada ya Sheria, 1977 (Dar es Salaam), Shahada ya Uzamili ya Sheria, 1987, (London) na Diploma ya Uzamili ya Sheria, 1981 (The …

Mapambano ya Ukatili Yanaitaji Nguvu za Pamoja – Tume ya Haki za Binadamu

VITA dhidi ya mapambano ya vitendo vya ukatili wa kijinsia nchini Tanzania havina budi kuungwa mkono na makundi yote kutokana na umuhimu wake. Hali hii ni kutokana na kwamba madhara ya ukatili katika jamii yanaathiri jamii nzima bila kujali jinsia. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay katika Maadhimisho …