State Owned TTCL Inks 328bn Tsh deal With Huawei

THE State owned Tanzania Telecomunications Limited TTCL, yesterday inked a 328bn or $182m deal with Huwei technologies aimed at helping the national telcom build its landline and mobile ICT networks. Speaking at the signing in Dar es salaam yesterday, the TTCL Chief Executive Oficer Dr Kamugisha Kazaura said the first part of the project will complete by June this year. …

TTCL Yazinduwa Dili la Ukweli, Kutoa Modem Bure

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imezinduwa huduma mpya kabambe ambayo inampa mteja wa kapuni hiyo fursa ya kufurahia modem ya bure na vifurushi vya intaneti kwa bei nafuu, huduma ambayo imetolewa kama ofa kwa wateja hasa katika kuelekea siku kuu za Chrismas na Mwaka mpya. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam juu ya huduma hiyo, Meneja Huduma za Intaneti wa …

Salio la TTCL Sasa Kupatikana kwa ‘Mobile Banking’

KAMPUNI ya Simu nchini Tanzania (TTCL) sasa imerahisisha upatikanaji wa vocha zake baada ya kuingia makubaliano kuishirikiano na benki 13 nchini zinazotoa huduma zake pia kwa kupitia simu za mkononi (Mobile Banking) ambapo sasa mteja wa TTCL ataweza kuongeza salio kupitia simu yake ya mkononi (TTCL top-up). Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Meneja Mipango na …