TTCL Mkoani Mbeya Waisaidia Sekondari ya Luswisi

 Meneja wa TTCL Mkoa wa Mbeya, James Mlaguzi akisoma taarifa ya msaada uliotolewa na kampuni hiyo katika shule ya Sekondari Luswisi.  Mbunge wa Ileje aliyemaliza muda wake, Aliko Kibona akitoa shukrani kwa niaba ya  wananchi wa Kata ya Luswisi kwa kampuni ya TTCL kutokana na msaada waliopokea.  Mbunge na Meneja wakipongezana baada ya kukabidhiana Saruji na Mbao.  Wanafunzi wa Shule …

TTCL Yaendelea Kukuza Matumizi ya Mawasiliano na Tehama

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) sasa inayawezesha wateja wake ikiwa ni pamoja na kampuni, taasisi na ofisi za Serikali kupata mawasiliano ya intaneti sehemu ambazo ziko mbali na njia ya Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kwa njia ya Satelaiti. Akizungumza katika Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa, katika viwanja vya Mwalimu Nyerere, Sabasaba, Ofisa Mtatuzi wa …