TPDC Yaweka Hadharani Ujenzi Miundombinu ya Gesi Asilia

   Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Michael Mwande akielezea kwa kina juu ya Taarifa ya Utekelezaji wa Ujenzi wa Miundombinu ya Gesi Asilia kutoka Madimba Mtwara, Songo Songo, Lindi, na Pwani hadi Dar es salaam leo. Kaimu Meneja Mkuu wa GASCO Injinia Kapuulya Musomba akizungumzia juu ya utekelezaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Ujenzi wa …