Mwigulu Nchemba Ayapa Changamoto Mabaraza ya Wafanyakazi TIA

Na Aron Msigwa –MAELEZO SERIKALI imeyataka Mabaraza ya wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya juu kote nchini kufanya kazi kwa bidii na kuzingatia weledi, kanuni na sheria zinazosimamia mabaraza hayo ili yawe chachu katika kuleta maendeleo ya Elimu na mabadiliko ya kiuchumi ya taasisi hizo. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Fedha (Sera) Mwigulu Nchemba wakati akizindua Baraza la …

Bodi ya Ugavi Yawafunza Wanafunzi TIA Mbeya Manunuzi

Na Mwandishi wetu BODI ya manunuzi na ugavi (PSPTB) imetoa mafunzo kwa wanafunzi wanaosoma masomo ya manunuzi na ugavi katika chuo cha uhasibu(TIA) Mbeya. Katika mafunzo hayo wito ulitolewa kwa Taasisi binafsi na serikali kuepuka kutoa ajira katika sekta ya manunuzi na ugavi kwa watu ambao hawana taaluma hiyo wala kusajiliwa na Bodi ya PSPTB. Wito huo ulitolewa na Mwakilishi …