Uandikishaji Wanachama ‘Tanzania Bloggers Network’ (TBN)

Uandikishaji Wanachama ‘Tanzania Bloggers Network’ (TBN) CHAMA cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii nchini ‘Tanzania Bloggers Network’ – TBN kilichosajiliwa rasmi na Serikali Aprili 2015 na kupewa namba ya usajili; S. A 20008 kinapenda kuwajulisha wanaotaka kujiunga na chama hicho kuwa fomu za kujiunga zinatolewa. Wahusika ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na …

MCT Yaahidi Ushirikiano na Bloggers, Ubalozi Marekani Waunga Mkono

Na Mwandishi Wetu BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limekubali kuanza ushirikiano na uhusiano mzuri na Chama cha Bloggers Tanzania (TBN) mara kitakapo maliza mchakato wa usajili wake na kutambulika rasmi kisheria. MCT imesema kwa hatua ya kwanza itafanya mazungumzo na viongozi wa TBN na kujadiliana namna gani ya kuisaidia TBN. Kauli hiyo imetolewa juzi jijini Dar es Salaam na Katibu …