Tamasha la Handeni Kwetu Lawalilia Wadhamini

  Na Mwandishi Wetu, Handeni WADAU wa mambo ya utamaduni yakiwamo mashirika, makampuni na watu mbalimbali wameombwa kujitokeza kuliwezesha tamasha la Handeni Kwetu 2014, lililopangwa kufanyika Desemba 13 mwaka huu wilayani Handeni, mkoani Tanga. Tamasha hilo linafanyika huku mwaka jana likiwezeshwa kwa kiasi kikubwa na Shirika la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa ushirikiano na wadau mbalimbali walioliwezesha tamasha …

Tamasha la Karibu Music Festival Laja

 Meneja wa tamasha la Karibu Music Festival, Richard Lupia akizungumza katika mkutano na waandishi wa Habari Dar es Salaam hii leo juu ya maandalizi ya tamasha hilo. Kushoto ni Mratibu wa Tamsha, Issam Ramadhan na Kulia ni Afisa Habari wa Karibu Music Festival, Said Hashim.   Na Father Kidevu Blog TAMASHA kubwa la Karibu International Music Festival, linataraji kufanyika nchini kwa mara ya kwanza katika …

Tamasha la Fiesta 2014 Mkoani Singida Lafana

 Baadhi ya mwashabiki wa Tamasha la Fiesta 2014 wakishangilia kwa hisia, wakati shoo ikiendelea jukwaani ndani uwanja wa Namfua mjini Singida.  Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka kampuni ya No Fake Zone, Lina Sanga ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa Oletemba, akiimba jukwaani mbele ya umati wa watu wakati wa tamasha la Fiesta lililofanyika jana katika uwanja …

Tamasha la Handeni Kwetu Kufanyika Desemba 13

Na Mwandishi Wetu, Dar TAMASHA kubwa la umataduni linalojulikana kama ‘Handeni Kwetu’ limepangwa kufanyika Desemba 13 mwaka huu, katika Uwanja wa Azimio, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Katika tamasha hilo linalofanyika kwa mara pili, burudani mbalimbali za ngoma za asili zinatarajiwa kuonekana jukwaani, ambapo pia vikundi kutoka nje ya Handeni, mkoani Tanga navyo vitaalikwa kwa ajili ya kwenda kutoa burudani wilayani …