Takwimu Kuendelea Kuwapatia Taarifa Sahihi Wananchi

Na Aron Msigwa – MAELEZO SERIKALI kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa itaendelea kuwapatia wananchi takwimu sahihi zinazohusu sekta mbalimbali ili kuwajengea uwezo wa kushiriki katika ngazi za maamuzi na masuala mbalimbali nchini. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Yussuf Mzee wakati akifungua rasmi maadhimisho ya Siku ya …