Wakristo Zaidi Watekwa Nyara

HOFU imetanda baada ya uwepo wa taarifa kuwa raia Wakristo kutoka Syria wametekwa nyara na wanamgambo wa Islamic State. Taariza zaidi kutoka kwa jamii hiyo imethibitisha kwamba zaidi ya raia 200 wametekwa nyara Jumanne baada ya vijiji kadhaa kushambuliwa kaskazini mwa Syria. Inasemekana wengi wa waliotekwa nyara ni wanawake na wazee. Wakati huo huo, mapigano yangali yakiendelea katika maeneo yaliyoko …

Rais Obama Kupambana na Kundi la Wanamgambo Syria, Iraq

RAIS wa Marekani, Barack Obama ameahidi kuchukua hatua stahiki dhidi ya kikundi cha wanamgambo wa dola ya Kiislam huko Syria na Iraq. Katika hotuba yake kwa taifa hilo iliooneshwa kupitia televisheni ya taifa ameelezea mipango ya utekelezaji dhidi ya wanamgambo hao na kikundi chochote cha kigaidi kitakachoitishia Marekani hakitakua salama milele. Rais Obama pia amesema kwamba kikosi namba 475 watapelekwa …