Wanachuo St. Joseph Waenda kwa Pinda Kudai Mgao wa Escrow

BAADHI ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Yosef (St. Joseph University In Tanzania-SJUIT, Dar) wameibuka katika maandamano ya kushtukiza na kwenda hadi Ofisi ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakiomba nao wapatiwe mgao wa fedha za Escrow kwa ajili ya kutumia kulipia ada chuoni. Wanafunzi hao ambao walijikusanya eneo la ofisi za Waziri Mkuu jijini Dar es Salaam hadi walipoondolewa …