Papa Francis Aanza Ziara Yake Sri Lanka, Waasi FDLR…!

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Farncis amewasili nchini Sri Lanka kwa ziara ambako anatarajiwa kusisitiza umhimu wa mazungumzo baina ya makundi mbalimbali ya imani hasimu za kidini nchini humo. Pamoja na hayo, Papa Francis akiwa nchini humo anatarajiwa kuhimiza suala la maridhiano wakazi walio wengi wa visiwa vya Sinhalese na wale wachache wa kisiwa cha Tamil. Hii ni ziara …